Mdau amekutwa maeneo ya town amembonji, mpiga picha wetu akujua tatizo la huyu jamaa tena katika ofisi za watu, muda wa mlo wa mchana!!!!! mpiga picha wetu atatueleza hasa huyu kijana tatizo lake. wadau bado nawakumbusha kutuma picha ya matukio mbalimbali katika stevemegusbes@gmail.com na maelezo yake ili niwamuvuzishie au sio
Tuesday, August 7, 2007
WINCOR ATM Support Manager
Duuuuuuuuuuuuuuuu!
Mr Denis Gitonga ATM Mult vendor support
IT Teacher
Mwanawane (jina tunalo kapuni) akitoa lecture ya Information Technology alikutwa na mpiga picha wetu frank aka Alphonce, inasemekana alikutwa akipiga lecture chumbani kwake mitaa ya mikocheni-chama. Lete picha mdau na utume kwa stevemegusbes@gmail.com na maelezo yake nami nitaimuvuzisha hewani. Ahsanteni
MOTOMOTO
Blog hii, itakuletea habari motomoto mchanganyiko. Karibuni wadau pia nakaribisha maoni na ushauri katika blog yangu. Karibuni sana sana
Subscribe to:
Posts (Atom)