Tuesday, August 7, 2007

Mdau

Mdau amekutwa maeneo ya town amembonji, mpiga picha wetu akujua tatizo la huyu jamaa tena katika ofisi za watu, muda wa mlo wa mchana!!!!! mpiga picha wetu atatueleza hasa huyu kijana tatizo lake. wadau bado nawakumbusha kutuma picha ya matukio mbalimbali katika stevemegusbes@gmail.com na maelezo yake ili niwamuvuzishie au sio

WINCOR ATM Support Manager


Mr Peter Reginaldo, who work at Technology Associates thinking for something. He is very busy man and he always make sure he's customers who use WINCOR are happy, e.g Exim Bank. Thank you Mr Peter, photo by Joseph Mwaheleja aka Mwanawane

Duuuuuuuuuuuuuuuu!

Wadau, si mnaona burger ya wenzetu hiyo, mtu anakula toto, jamani jamani, wabongo mnaweza kweli kula mutu!!!

Mr Denis Gitonga ATM Mult vendor support

Mr Denis Gitonga from Technology Associates who is responsible for the NCR ATM changing the idea with police officers after one ATM broken 2 weeks ago, Came down Mr Denis

IT Teacher


Mwanawane (jina tunalo kapuni) akitoa lecture ya Information Technology alikutwa na mpiga picha wetu frank aka Alphonce, inasemekana alikutwa akipiga lecture chumbani kwake mitaa ya mikocheni-chama. Lete picha mdau na utume kwa stevemegusbes@gmail.com na maelezo yake nami nitaimuvuzisha hewani. Ahsanteni

MOTOMOTO

Blog hii, itakuletea habari motomoto mchanganyiko. Karibuni wadau pia nakaribisha maoni na ushauri katika blog yangu. Karibuni sana sana