Mdau amekutwa maeneo ya town amembonji, mpiga picha wetu akujua tatizo la huyu jamaa tena katika ofisi za watu, muda wa mlo wa mchana!!!!! mpiga picha wetu atatueleza hasa huyu kijana tatizo lake. wadau bado nawakumbusha kutuma picha ya matukio mbalimbali katika stevemegusbes@gmail.com na maelezo yake ili niwamuvuzishie au sio
Tuesday, August 7, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment