Tuesday, August 14, 2007
Bibi
Wadau, bibi huyu wakiasia si kwamba ana njaa, au anaugua, la hasha ni kwamba amezeeka na akatelekezwa na ndugu zake, picha hii tumeipata katika website moja ya huko majuu.
Friday, August 10, 2007
Hija ya Vijana 2008
Wadau, mwakani 2008 mdau mwenzenu natarajia kwenda Sydney-Australia kwa mkutano pamoja na Baba Mtakatifu Benedict XVI, si vibaya mkanichangia maana gharama kwa safari nzima ni pesa nyingi sana ni kama millioni 1,350,000/= za kitanzania ambacho kwangu ni kiasi kikubwa sana, kama mtu atapenda kunichangia kidogo, tuwasiliane kwa mail address yangu yaani stevemegusbes@gmail.com, nitashukuru wadau
Thursday, August 9, 2007
Alphonce
Keki ya harusi
Wadau mitaa ya mahakama ya kisutu
Tuesday, August 7, 2007
Mdau
Mdau amekutwa maeneo ya town amembonji, mpiga picha wetu akujua tatizo la huyu jamaa tena katika ofisi za watu, muda wa mlo wa mchana!!!!! mpiga picha wetu atatueleza hasa huyu kijana tatizo lake. wadau bado nawakumbusha kutuma picha ya matukio mbalimbali katika stevemegusbes@gmail.com na maelezo yake ili niwamuvuzishie au sio
WINCOR ATM Support Manager
Subscribe to:
Posts (Atom)