Friday, August 10, 2007

Hija ya Vijana 2008


Wadau, mwakani 2008 mdau mwenzenu natarajia kwenda Sydney-Australia kwa mkutano pamoja na Baba Mtakatifu Benedict XVI, si vibaya mkanichangia maana gharama kwa safari nzima ni pesa nyingi sana ni kama millioni 1,350,000/= za kitanzania ambacho kwangu ni kiasi kikubwa sana, kama mtu atapenda kunichangia kidogo, tuwasiliane kwa mail address yangu yaani stevemegusbes@gmail.com, nitashukuru wadau

No comments: