Thursday, August 9, 2007

Alphonce


Wadau alphonce wa kwanza kulia na katikati ni mpambe wa bwana harusi na kulia ni bwana harusi mwenyewe ambaye ni bro wangu, hapo wadau ilikuwa ni masaa 3 kabla ya harusi yenyewe. Picha na Abdallah Kimario wa Bagamoyo

No comments: